Uhalifu
12/10/2021, 5:57 pm
Majangili wawili wakamatwa
Na,Glory Paschal Polisi mkoani Kigoma wamesema kwa nyakati tofauti wamefanikiwa kuwakamata watu wawili wakituhumiwa kujihusisha na ujangili Pamoja na uhalifu mwingine katika matukio mawii tofauti yaliyotokea Oktoba tisa katika Wilaya za Kibondo na Uvinza Kamanda wa Polisi Mkoa wa KigomaJAMES…
29/09/2021, 6:34 pm
Majambazi watatu wauawa
Na,Glory Paschal Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limefanikiwa kuwaua watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika barabara inayotokea kijiji cha Kagerankanda kata ya Nyakitonto Tarafa ya Buhoro wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi…
16/04/2021, 1:27 pm
Wananchi wa Kibirizi wawashukuru Viongozi wao
Na; Glory Kusaga KIGOMA Wananchi wa kata ya Kibirizi Manispaa ya kigoma ujiji wamewashukuru Viongozi wa kata hiyo kwa jitihada za kudhibiti matukio ya wizi na udokozi yaliyokuwa yanaathiri Maendeleo yao . Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema Vitendo vya wizi vimekuwa…