Uvinza Fm
tanesco
07/10/2021, 5:53 pm
Serikali mbioni kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana
Na,Glory Paschal Waziri wa Nishati JANUARY MAKAMBA amesema serikali iko katika mchakato wa kuhakikisha inafikisha umeme wauhakika Mkoani Kigoma kwa kuunganisha Mkoa huu na Gridi ya Taifa kutoka vituo vya Nyakanazi na Tabora Mh. MAKAMBA amesema hayo wakati alipotembelea Kituo…