Uvinza Fm

tanesco

07/10/2021, 5:53 pm

Serikali mbioni kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana

Na,Glory Paschal Waziri wa Nishati JANUARY MAKAMBA amesema serikali iko katika mchakato wa kuhakikisha inafikisha umeme wauhakika Mkoani Kigoma kwa kuunganisha Mkoa huu na Gridi ya Taifa kutoka vituo vya Nyakanazi na Tabora Mh. MAKAMBA  amesema hayo wakati alipotembelea Kituo…