Uvinza Fm
mikopo
24/11/2021, 4:09 pm
Wanawake watakiwa kuunda vikundi ili wapate mikopo ya Serikali
Wanawake wajasiriamali Mkoani Kigoma wametakiwa kuunda vikundi, ili waweze kupatiwa mikopo na Serikali ili kuweza kendeleza shughuli zao na kujikomboa kiuchumi Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo Halmashauri ya wilaya ya Kigoma ZILIPA KISONZELA mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya…
16/04/2021, 3:35 pm
Kilio cha Walemavu chatatuliwa
UVINZA Na, Editha Edward Baada ya Redio uvinza fm kuripoti taarifa ya watu wenye ulemavu kupatiwa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na kila halmashauri kwa takribani miezi mitano iliyopita ili kujikwamua kiuchumi halmashauri ya wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma…