Uvinza Fm

mikopo

24/11/2021, 4:09 pm

Wanawake watakiwa kuunda vikundi ili wapate mikopo ya Serikali

Wanawake wajasiriamali Mkoani Kigoma wametakiwa kuunda vikundi, ili waweze kupatiwa mikopo na Serikali ili kuweza  kendeleza shughuli zao na kujikomboa kiuchumi Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo Halmashauri ya wilaya ya Kigoma ZILIPA KISONZELA mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya…

16/04/2021, 3:35 pm

Kilio cha Walemavu chatatuliwa

UVINZA Na, Editha Edward Baada ya Redio uvinza fm kuripoti taarifa ya watu wenye ulemavu kupatiwa mikopo  ya asilimia 10 inayotolewa na kila halmashauri  kwa takribani miezi mitano iliyopita  ili kujikwamua kiuchumi halmashauri ya wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma…