Uvinza Fm

Afya ya uzazi

09/09/2021, 5:54 pm

Kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito husaidia kiafya

Na,Editha Edward Imeelezwa kuwa kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito humsaidia kujua hali ya mama kiafya Pamoja na hali ya  mtoto wake aliyeko tumboni Akizungumza na redio Uvinza fm mganga mkuu wilaya ya Uvinza dkt ZAITUNI HAMZA amesema kuna baadhi…