Uvinza Fm
Afya ya uzazi
09/09/2021, 5:54 pm
Kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito husaidia kiafya
Na,Editha Edward Imeelezwa kuwa kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito humsaidia kujua hali ya mama kiafya Pamoja na hali ya mtoto wake aliyeko tumboni Akizungumza na redio Uvinza fm mganga mkuu wilaya ya Uvinza dkt ZAITUNI HAMZA amesema kuna baadhi…