Uvinza Fm

Ugumu wa maisha huwapelekea waendesha bajaji kubeba zaidi ya abiria watatu

06/09/2021, 4:31 pm

Na,Mwanaid Suleiman

Baadhi ya waendesha bajaji wilayani uvinza mkoani kigoma wamesema kuwa ugumu wa maisha hupelekea kubeba abiria zaidi ya watatu kwenye bajaji licha ya kwenda kinyume na sheria  za barabaarani

Hayo yamebainishwa na bw ALLY MOHAMED   pamoja na ATHUMANI AHMED ambao wamesema kuwa huwa wanabeba abiria zaidi ya watatu  ili kukidhi mahitaji yao

Sauti za waendesha bajaji

Akizungumza na redio uvinza fm mwenyekiti wa waendesha bajaji wilayani uvinza Bw.HALIS JUMA HALIS  amekiri kuwepo kwa baadhi ya waendesha bajaji kubeba abiria wengi ikiwa ni kinyume na utaratibu wa sheria za barabarni

Sauti ya mwenyekiti wa waendesha bajaji

Aidha mkuu wa kikosi cha usalama barabarani wilaya ya uvinza SHABAN JUMA  ameeleza mikakati thabiti ili kutokomeza uvunjaji wa sheria

Sauti ya mkuu wa usalama barabarani

Hata hivyo kutokana na sheria za barabarani bajaji inatakiwa kubeba abiria  wasiopungua watu watatu.