
Radio Tadio
8 January 2025, 2:00 pm
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania TFRA Kanda ya Kaskazini imewataka wananchi mkoani Manyara kujisaliji katika maeneo wanayofanya shughuli zao za kilimo ili kunufaika na ruzuku ya mbolea na mbegu ambazo zinatolewa na serikali. Na Mzidalfa Zaid Wakulima mkoani Manyara…