Storm FM
utalii
10 August 2021, 2:57 pm
Tamasha la utalii Chato fursa kwa wakazi wa Geita.
Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wameshauriwa kutumia fursa ya maonesho ya utalii yanayoendelea wilayani Chato kwa kufika nakuonesha bidhaa zao za kiasili ikiwa ni njia mojawapo ya kujitangaza nakufahamika zaidi. Maonesho hayo yalianza kwa Waendesha mitumbwi 87 kutoka kwenye…