Storm FM

utalii

10 August 2021, 2:57 pm

Tamasha la utalii Chato fursa kwa wakazi wa Geita.

Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wameshauriwa kutumia fursa  ya maonesho ya utalii yanayoendelea wilayani Chato kwa kufika nakuonesha  bidhaa zao za kiasili  ikiwa ni njia mojawapo ya kujitangaza nakufahamika zaidi. Maonesho hayo yalianza kwa Waendesha mitumbwi 87 kutoka kwenye…