

September 29, 2023, 12:34 pm
Na Zubeda Handrish- GeitaWakala wa majengo Tanzania (TBA) kupitia kwa Meneja wa TBA mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta Septemba 28,2023 amesema awamu ya kwanza (phase one) ya ujenzi wa majengo saba ya serikali katika Mkoa wa Geita imekamilika ambapo…
September 25, 2023, 10:53 am
Baada ya kuzindua maonesho ya 6 ya kimataifa ya teknolojia ya madini katika viwanja vya EPZA mjini Geita Septemba 23, 2023, Waziri Biteko alifika hadi kwa wananchi wa Bukombe, mamlaka ya mji mdogo Ushirombo nyumbani kwao kwa ajili ya shukrani.…
September 20, 2023, 2:58 pm
Serikali Mkoani Geita imetoa tahadhari kwa watu wenye makazi duni kuhakikisha wanaboresha makazi yao ili kuepuka madhara kutokana na mvua zilizoanza kunyesha nakuleta madhara kwa baadhi ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya Nyumba kadhaa kuezuliwa na mvua…
September 13, 2023, 8:23 pm
Uchunguzi umeanza kufanyika kwa watumishi wa umma waliohama vituo vyao vya kazi kwa njia za udanganyifu nakukimbilia mjini. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafuta kazi baadhi ya watumishi wa umma waliotumia nyaraka feki za…
September 12, 2023, 1:23 pm
Takribani wiki moja imepita tangu Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Geita kuwaagiza wenye viti wa mitaa/vijiji pamoja na watendaji kuhakikisha wanasoma taarifa za mapato na matumizi kila baada ya miezi mitatu, huku ikiwa ni kawaida kwa mtaa wa Shilabela. Na…
August 28, 2023, 9:07 am
Changamoto ya kupatikana kwa maji safi na salama vijijini, imechangia kwa kiasi kikubwa mradi wa maji wa miji 28 kuanzishwa.Na Adelina Ukugani- GeitaJumla ya wakazi laki sita na thelathini na nane mia tatu na ishirini na mbili (638,322 ) wanatarajia…
August 10, 2023, 6:18 pm
Vitendo vya rushwa vimeendelea kuwa na athari kubwa hadi kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kwa ajili ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Miradi 12 yenye thamani ya shilingi Bilioni 5.6 imebainika kuwa na Mapungufu na viashiria vya rushwa wakati…
August 5, 2023, 8:12 pm
Serikali imeendelea kujenga mizizi katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuuanda klabu za kupinga matumizi hayo katika shule za msingi na sekondari. Na Mrisho Sadick: Watuhumiwa 25 wa dawa za kulevya wamekamatwa na kufikishwa mahakamani wilayani Geita ikiwa…
July 25, 2023, 5:46 pm
Kutokana na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji hali ambayo imekuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji jambo hilo limepongezwa na viongozi wa dini. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini mkoani Geita wameipongeza serikali ya…
July 21, 2023, 11:30 am
Wakati Dira ya Taifa ya mwaka 2025 ikiwa inaelekea ukingoni, wananchi mkoani Geita wameeleza mafanikio makubwa huku wakiipongeza serikali kwa kuwashirikisha. Na Mrisho Sadick Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 inayotegemewa kumalizika 2025 imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kusogeza…