Storm FM

Elimu

September 22, 2023, 1:09 pm

BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita

BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…

September 18, 2023, 10:31 pm

Shule yenye walimu wawili wa bailojia yaongoza kiwilaya Geita

Shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika Mamlaka  ya mji mdogo Katoro, ina walimu wawili wa bailojia ambao hulazimika kufundisha wanafunzi 2,049 yenye jumla ya mikondo 26 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Na Said Sindo- Geita Shule hiyo…

July 12, 2023, 5:27 pm

Rais wa CWT ajibu mapigo baada ya kupewa siku 14 kujiuzulu

Vuguvugu na tuhuma kutoka kwa wanachama wa CWT zimekuwa kubwa kwa Rais wa chama hicho na katibu wake, suala lililopelekea Rais huyo kutoka hadharani na kujibia tuhuma zinazomkabili kutoka kwa wanachama wake. Na Said Sindo- Geita Ikiwa imepita wiki moja…

July 4, 2023, 3:02 pm

Redio jamii sasa kidijitali zaidi

Kutokana na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano hapa nchini, Mtandao wa Redio za Jamii Tanzania (TADIO) umeendelea kuzijengea uwezo redio hizo ili kujiimarisha kimtandao zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Redio za kijamii 11 wanachama wa mtandao wa TADIO kutoka…