Sibuka FM

Walimu

27 October 2021, 2:51 pm

walimu wilaya ya itilima waomba kutatuliwa changamoto zao.

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga ,Simiyu Walimu wilayani Itilima mkoani Simiyu wameiomba serikali kuona umuhimu wa kutatua changamoto zao  ili kuongeza hali ya utedaji kazi. Wameyasema hayo kwenye semina ya kuwajengea uwezo kwenye  majukumu yao viongozi na wawakilishi wa shule…