Sibuka FM
VIJANA
18 October 2021, 1:30 pm
Mkuu wa mkoa wa Simiyu ashangazwa na wahitimu wa (JWTZ) kushindwa kujitegemea.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh,David Kafulila ameshangazwa na kitendo cha wahitimu wa wafunzo ya (JWTZ)kushindwa kujitegemea baada ya kuhitimu mafunzo yao licha ya Serikali kutumia gharama kubwa kwa ajili ya mafuzo hayo David Kafulila ameyasema hayo wakati wa kongamano…