Sibuka FM
Takukuru
25 February 2024, 6:29 pm
Takukuru Simiyu yaokoa zaidi ya shilingi milioni 70
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imefanikiwa kuokoa fedha zaidi ya shilingi milioni sabini zilizotaka kufanyiwa ubadhirifu katika Chuo cha Maafisa Tabibu wilayani Maswa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Naibu Mkuu wa Takukuru mkoani …