Sibuka FM

PAMBA

13 March 2024, 10:44 am

Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh Aswege Kaminyoge   amemshukuru   Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata  ya  Senani  ili kumsaidia  mkulima  katika  kuongeza  tija  katika  zao la pamba. DC Kaminyoge  ametoa  shukrani  hizo  wakati  wa  kuzindua zana…

17 September 2021, 4:56 pm

RC Kafulila; Bei ya Pamba yavunja rekodi Msimu wa 2020/2021.

Mkuu wa  mkoa  wa  Simiyu  Mh,  Davidi  Zacharia  Kafulila  amesema  kuwa  bei  ya  Pamba  kwa  mwaka  huu  wa  2021  imevunja   rekodi  ya   zaidi  ya  miaka Ishirini  iliyopita  kutokana  na  Usimamizi  Bora wa mifumo  ya  ununuzi  wa   zao  la  Pamba.. Mh …