PAMBA
13 March 2024, 10:44 am
Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata ya Senani ili kumsaidia mkulima katika kuongeza tija katika zao la pamba. DC Kaminyoge ametoa shukrani hizo wakati wa kuzindua zana…
12 October 2021, 9:44 am
mkoa wa simiyu na mkakati wa kuzalisha tani laki tano za pamba msimu wa kilimo 2…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila amewaomba wadau mbalimbali wa zao la pamba mkoa hapo kuhakikisha mkakati wa zao hilo wa kuzalisha tani laki tano za pamba unatekelezwa kwa vitendo na siyo kwa makaratasi lengo nikuongeza thamani ya zao…
17 September 2021, 4:56 pm
RC Kafulila; Bei ya Pamba yavunja rekodi Msimu wa 2020/2021.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh, Davidi Zacharia Kafulila amesema kuwa bei ya Pamba kwa mwaka huu wa 2021 imevunja rekodi ya zaidi ya miaka Ishirini iliyopita kutokana na Usimamizi Bora wa mifumo ya ununuzi wa zao la Pamba.. Mh …