MGODINI
14 January 2024, 12:42 pm
22 wafariki kwa kuporomokewa na kifusi mgodini Simiyu
Tumefanikiwa kuokoa miili ishirini na mbili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu kufuatia kuporomoka kwa duara wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji Na,Daniel Manyanga Watu ishirini na mbili wamefariki dunia kwa kufukiwa (kuporomokewa) na kifusi…
6 January 2022, 11:19 am
WAWILI WAPOTEZA MAISHA ,WANNE WAJERUHIWA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MGODINI
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Watu wawili wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya kufunikwa na kifusi kwenye mgodi wa dhahabu wa Halawa no 2 uliopo halmashauri ya wilaya ya Bariadi . Akithibitisha kupokea miili na majeruhi wa tukio…
14 April 2021, 5:08 pm
WANNE WAFA MGODINI,MMOJA AKIJERUHIWA
Wachimbaji wadogo wanne wa dhahabu wafariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka kwa kuta wakati wakiendelea na uchimbaji wa dhahabu kwenye duara zao katika mgodi wa dhahabu na 2 uliopo Imalamate wilayani Busega mkoani Simiyu. Akizungumza na waandishi wa…