Sibuka FM
MAUAJI
19 October 2021, 3:25 pm
Wivu wa mapenzi wapelekea kumuua mke wake kwa kumkata mapanga.
Mwanamke mmoja aitwae Pili Masonga mwenye umri wa miaka 28,msukuma mkazi wa Kijiji cha Kulimi wilayani Maswa mkoani Simiyu ameuwawa na mme wake kwa kukatwa mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi…
22 May 2021, 8:58 pm
jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…