Sibuka FM

MAUAJI

22 May 2021, 8:58 pm

jeshi la polisi lawashikilia watano kwa mauaji simiyu

Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za  mauaji ya mtu mmoja. Hayo yamesemwa na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu ACP Richard Abwao wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari na kuongeza kuwa…