Sibuka FM

MBUNGE WA MASWA MASHARIKI STANSLAUS NYONGO AHESABIWA

23 August 2022, 3:00 pm

Mbunge    wa  Jimbo  la  Maswa   Mashariki  Mh  Stanslaus   Nyongo   ameshiriki   kuhesabiwa  katika   Zoezi  la   Sensa  ya   Watu  na  Makazi  lililoanza  leo  Aug  23,  2022