Ruangwa FM

SHAMRA SHAMRA MIAKA 61 YA UHURU RUANGWA

8 December 2022, 3:42 am

 

Kuelekea maadhimisho ya siku wa Uhuru Tanzania Watumishi wilayani ruangwa wamejumuika na wananchi wa wilaya hiyo kwenye Bonanza maalumu la Michezo lilofanyika usiku wa taraehe 8/12/2022 katika uwanja wa Majaliwa Wilayani humo.

Ambapo katika mchezo wa mpira wa miguu wa timu ya wanawake Wajasiriamali na watumishi ulimalizika kwa Watumishi kufungwa magoli 3 kwa 0.

MIAKA 61 YA UHURU: AMANI NA UMOJA NI NGUZO YA MAENDELEO YETU.