Radio Jamii Kilosa
Matendo ya huruma
20 March 2021, 4:05 pm
Waadvendista wasabato wafanya matendo ya huruma -Kilosa.
Waumini wa Kanisa la Waadvendista wasabato Kilosa lililoko Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameadhimisha wiki ya huduma kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma kama vile kuchangia damu , kutoa mahitaji kwa watu wenye mahitaji maalumu , ikiwa ni pamoja na…