Radio Jamii Kilosa
Maji
16 March 2021, 11:44 am
Bilion 1.27 kumaliza tatizo la maji kilosa-Injinia Chum.
Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji safi na salama Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ili wananchi waweze kupata huduma ya maji saa 24 kwa mwaka . Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja wakala wa maji na…