Elimu
22 June 2021, 7:38 pm
Kambi za kujitambua kujithamini na kujiamini ziwe endelevu.
Rai imetolewa kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na shule za sekondari kujenga msingi endelevu wa kuwa na kambi za watoto wa kike kipindi cha likizo lengo ikiwa ni kuwaweka pamoja ili waweze kujifunza masomo mbalimbali ikiwemo lugha…
2 February 2021, 1:12 pm
Mbunge wa Jimbo la Mikumi aongeza nguvu ujenzi wa Madarasa.
Mbunge wa jimbo la Mikumi Mh. Dennis Londo amekabidhi mifuko 200 ya saruji katika shule ze sekondari Iwemba, Lyahira, Kidodi na Ruhembe ambapo kila shule imekabidhiwa mifuko 50 ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono agizo la Waziri Mkuu la kuhakikisha…
2 February 2021, 11:20 am
Shule ya Sekondari Mazinyungu yajipanga Kuizika Sifuri 2021.
Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Mazinyungu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wemejipanga kuzika Daraja sifuri ili isionekane shuleni hapo katika matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2021. Wakizungumza Januari 29 mwaka huu katika kikao mkakati cha kuzika sifuri…
1 February 2021, 10:28 am
Prof Kabudi aongeza nguvu ujenzi shule za sekondari Dakawa mazoezi,Magole na Dum…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Paramagamba Kabudi Januari 31 amekabidhi mifuko 450 ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni 7.2 ikiwa ni fedha zake binafsi katika shule za sekondari Mazoezi Dakawa, Magole na Dumila ambapo kila shule imepata mifuko 150…
30 January 2021, 6:55 pm
Prof. Kabudi akabidhi mifuko 200 ya saruji shule ya Sekondari Mabula Kilosa ili…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Prof Palamagamba Idan Kabudi amekabidhi saruji mifuko 200 sawa na Tani kumi yenye thamani ya kiasi Cha shilingi Milioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba Viwili nya Madarasa katika shule ya Sekondari Mabula Wilayani…
16 January 2021, 7:38 pm
Wakuu wa shule watakiwa kumaliza Ujenzi wa Madarasa Kilosa -Mgoyi.
Katika kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuwa ifikapo tarehe 15 Januari miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iwe imekamilika Mkuu Wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametembelea miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule…
14 January 2021, 2:55 am
Kilosa yajipanga kuto poteza vipindi darasani.
Wakati shule zikifunguliwa kwa ajili ya wanafunzi kuanza rasmi masomo yao Januari 11 mwaka huu mkoa wa Morogoro upande wa elimu sekondari umejipanga kuishi katika kauli mbiu ya hakuna kipindi kupotea lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wanafaulu katika kiwango kizuri kinachoridhisha. Hayo yamebainishwa…
7 January 2021, 1:05 pm
Rc Morogoro awachukulia hatua Wenyeviti wa vitongoji Mikumi.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na Wenyeviti wa vitongoji 21 Katika Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa Katika shule ya Sekondari Mikumi…