Radio Jamii Kilosa
Dini
21 March 2021, 11:39 am
Tubadirike Magufuli kurudi Kilosa hatopita barabara wala Reli ya mwendokasi .
Waumini wa Romani katoliki parokia ya familia takatifu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wametakiwa kubadirika ndani ya mioyo yao na kumrudia Mungu hasa kipindi hiki cha kwaresma kwa kufunga Kulia na kuomboleza kwakuwa hakuna anaejua siku wala saa ya kifo chake…