Afya
30 January 2022, 1:51 pm
Epuka uchafu wa Mazingira Kilosa -M/kiti Chabu.
Wito umetolewa kwa jamii Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kujenga tabia ya kushiriki kufanya usafi wa Mazingira na kupanda miti kwa ajili ya kuepuka magojwa ya mlipuko na kutunza Mazingira Wilayani humo . Wito huo umetolewa Januari 29 mwaka huu na…
21 April 2021, 10:15 am
Kata ya malolo yapongezwa kwa ujenzi wa kituo Cha Afya .
Wananchi wa kata ya Malolo pamoja na uongozi wake wamepongezwa kwa namna ambavyo wameonyesha umoja na ushirikiano katika kujiletea maendeleo katika kata yao kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha katika kufanikisha ujenzi wa kituo cha afya Malol. Pongezi hizo zimetolewa Aprili 20…
17 March 2021, 11:57 am
Zaidi ya wanafunzi 2700 kupewa elimu ya Kinywa Kilosa -Dk Kibula.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kupitia idara ya afya wanatarajia kutoa elimu ya afya ya Kinywa na meno pamoja na vifaa vya kushafishia Kinywa kwa wanafuzi 2721 kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali ya Kimywa na meno.…
4 March 2021, 9:51 am
Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari .
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ameonyesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa kitengo kinachosimamia utekelezaji wa afua mbalimbali katika kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa namna ambavyo kimekuwa kikifanya majukumu yake na kutoa mrejesho chanya katika utekelezaji…
8 January 2021, 10:26 am
Wakina Mama wanao Nyonyesha watakiwa kuzingatia usafi wa Mwili na Mazingira- Kil…
Wakinamama wanao nyonyesha watoto walio chini ya siku 1000 toka kuzaliwa wameshauriwa kuzingatia usafi wa mwili na Mazingira wakati wa kunyonyesha na kuandaa Chakula cha ziada kwa mtoto aliye fika umri wa miezi sita. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa katika…
17 December 2020, 9:13 am
Wananchi wahimizwa kukata kadi za bima ya afya – RC Morogoro
Wananchi Wilayani Kilosa na Mkoa wa Morogoro kiujumla wamehimizwa kukata kadi za bima ya afya kwa ajili ya familia zao kwani kadi hizo ni muhimu na zinasaidia kupata matibabu kwa urahisi hata nyakati ambazo mtu anakuwa hana fedha kwa ajili…