Radio Fadhila

Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini.

24 January 2022, 5:06 AM

MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika.

Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao”

Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia ya mtandao kupata huduma za kimahakama