

9 March 2023, 8:38 pm
Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya wanawake 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘Ubunifu na mabadiliko ya teknolojia, chachu katika kuleta usawa wa kijinsia’. Shirika la UZIKWASA kwa mara ya kwanza limetoa nafasi kwa kamati za mazingira kuonyesha…
6 March 2023, 9:55 pm
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Bi. Mary Pius Chatanda amewataka wanawake kuhakikisha wanachukua fomu kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo. Bi Chatanda ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, ambayo yamefanyika wilayani Pangani hapo…