Pangani FM

WANAWAKE

23 June 2021, 7:27 pm

Machozi ya wajane katika jamii za wafugaji .

Wakati leo Juni 23, 2021 Tanzania ikiungana na Mataifa mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wajane Duniani, Wanawake Wajane kutoka Jamii za kifugaji Wilayani Pangani Mkoani Tanga wanaeleza changamoto wanazokabiliana nazo katika maisha yao ya ujane. Mwanamke katika Jamii hizo sio tu…

8 March 2021, 8:14 pm

DC PANGANI alia na mimba likizo ya Corona.

Ikiwa leo Ulimwengu unaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kujizatiti kwenye Malezi ya Watoto wao hasa wa kike ili kufikia lengo la Dunia yenye Usawa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Funguni…