Pangani FM
UVIKO-19
16 November 2021, 1:11 pm
Pangani kutumia Milioni 35 kuwalinda Wanafuzi dhidi ya Uviko-19.
Halamshauri ya wilaya ya Pangani inajipanga kutumia kiasi cha fedha Shilingi Milioni 35 kujenga miundombinu ya kuwezesha wanafunzi kunawa mikono katika shuleni kama hatua ya ujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona. Katika mazungumzo aliyofanya na Pangani FM Mkurugenzi wa…
4 August 2021, 5:37 pm
Waliojitokeza kupokea chanjo ya Corona Pangani.
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga leo imeanza zoezi la utoaji wa Chanjo ya virusi vya Corona kwa makundi yaliyopewa kipaumbele ikiwemo watoa huduma za afya, watu wenye magonjwa sugu na wazee. Viongozi wa Serikali, taasisi, watumishi wa afya…