Pangani FM
UONGOZI
17 December 2021, 6:45 pm
Viongozi wa Redio Jamii wajengewa uwezo Pangani.
Mafunzo ya kujitathimini kwa Wadau, Waandishi wa Habari na Viongozi wa Radio za Kijamii Nchini yafikia tamati hii leo. Washiriki wa Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Shirika la Uzikwasa kwa Siku tatu mfululizo hapa Wilayani Pangani Mkoani Tanga, wameyataja Mafunzo hayo…
7 January 2021, 5:04 pm
Madiwani wa Kata zote wilayani Pangani katika Mafunzo ya Uongozi wa ‘mgu…
Madiwani wa kata 14 za wilaya ya Pangani Mkoani Tanga pamoja na viongozi wa Halmashauri (w) wameshiriki katika mafunzo ya ‘uongozi wa mguso yanayoratibiwa na shirika la UZIKWASA lililopo wilayani humo. Mafunzo hayo yanayolenga Kumwezesha kiongozi kujimulika mwenyewe,kutafakari na katika…