POLISI
13 April 2021, 1:41 pm
Ujenzi Kituo cha Polisi Mivumoni
Kamishina wa Polisi Jamii Tanzania Mussa Ali Mussa amefanya ziara wilayani Pangani mkoani Tanga na kuweka jiwe la msingi katika kituo kidogo cha Polisi kilichopo kijiji cha Mivumonini wilayani humo. Akizungumza wakati wa tukio la uwekaji jiwe kwa ajili ya…
4 February 2021, 10:40 am
Polisi Pangani yawafikisha watu 6 Mahakamani kwa Mashtaka ya Ubakaji na Dawa za…
Jeshi la Polisi wilayani Pangani mkoani Tanga limefanikiwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa zaidi ya sita ndani ya mwezi Januari 2021 kwa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji na madawa ya kulevya. Akizungumza na Pangani FM Kamanda wa polisi wilaya ya Pangani SSP Ramadhani…
3 December 2020, 12:58 pm
Polisi Pangani yaitaka Jamii kushiriki kikamilifu kutoa ushahidi.
Jeshi la Polisi wilayani Pangani mkoani Tanga, limeitaka jamii kushiriki kikamilifu kutoa ushahidi pale ambapo mwananchi atakuwa ameshuhudia tukio fulani la ukatili au uhalifu wowote ili kesi ziweze kufikia mwisho. Wito huo umetolewa na Mkuu wa upelelezi wilaya ya Pangani…