Pangani FM

POLISI

13 April 2021, 1:41 pm

Ujenzi Kituo cha Polisi Mivumoni

Kamishina wa Polisi Jamii Tanzania Mussa Ali Mussa  amefanya ziara wilayani Pangani mkoani Tanga na kuweka jiwe la msingi katika kituo kidogo cha Polisi kilichopo kijiji cha Mivumonini wilayani humo. Akizungumza wakati wa tukio la uwekaji jiwe kwa ajili ya…