MAJI
9 July 2021, 6:31 pm
DC Pangani aahidi kuhughulikia changamoto ya Maji Chumvi.
Mkuu wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga amekiri kuwepo kwa baadhi ya vyanzo vinavyotoa maji chumvi Wilayani humo, na kuahidi namna ya kuyatibu ili kuwasaidia wananchi waweze kupata maji safi na salama. Hayo yamejiri katika kikao kazi kupitia mkutano mkuu…
10 March 2021, 10:41 am
Kuelekea ziara ya Makamu wa Rais Tanga,RC Shigela atembelea Mradi ya Maji Korogw…
Mkuu wa Mkoa Tanga Mh.Martine Shigela akiwa na Kamati ya usalama ya Mkoa na wilaya ametembelea na kujionea ukamilifu wa Mradi wa Maji unaounganisha vijiji vya Kwasunga mpirani kata ya Makuyuni na Kwasung_A kilichopo kata ya Magiragereza wilayani Korogwe Mkoani…
2 March 2021, 11:19 am
TANGA UWASA Kufufua Visima vya Maji Pangani.
Mamlaka ya usimamizi wa Maji Wilayani Pangani kupitia TANGA UWASA imejipanga katika uboreshaji wa miundombinu ya umeme ili kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji wilayani hapa. Hayo yameelezwa na Meneja wa maji TANGA UWASA Ndugu JOHN FUSSI wakati akizungumza na…
1 March 2021, 1:25 pm
Ofisi ya Mbunge Pangani yazionya Bodi za Maji.
Uongozi wa Ofisi ya Mbunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga umezionya Bodi za Maji Wilayani humo juu ya swala la kusuasua kwa Miradi ya Maji kwenye maeneo yao. Akizungumza na PANGANI FM Mwishoni mwa wiki iliyopita moja ya viongozi waandamizi…