Pangani FM

MAJI

2 March 2021, 11:19 am

TANGA UWASA Kufufua Visima vya Maji Pangani.

Mamlaka ya usimamizi wa Maji  Wilayani Pangani kupitia TANGA UWASA imejipanga katika uboreshaji wa miundombinu ya umeme ili kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji wilayani hapa. Hayo yameelezwa na Meneja wa maji TANGA UWASA Ndugu JOHN FUSSI wakati akizungumza na…

1 March 2021, 1:25 pm

Ofisi ya Mbunge Pangani yazionya Bodi za Maji.

Uongozi wa Ofisi ya Mbunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga umezionya Bodi za Maji Wilayani humo  juu ya swala la kusuasua kwa Miradi ya Maji kwenye maeneo yao. Akizungumza na PANGANI FM  Mwishoni mwa wiki iliyopita moja ya viongozi waandamizi…