KILIMO
23 June 2021, 4:59 pm
Malima aagiza kuboreshwa upatikanaji wa mbegu za Korosho na minazi.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Kigoma Malima amemuagiza afisa kilimo wa halmashauri ya wilaya ya Pangani kuandaa mikakati ya upatikanaji wa mbegu za mazao ya minazi na korosho ili kuboresha mazao hayo wilayani humo. Malima ameyasema hayo katika kikao…
6 March 2021, 9:26 pm
Unafanya Kilimo?Unategemea Kilimo? Sikiliza hapa.
Upo umuhimu mkubwa wa kufuatilia taarifa za hali ya hewa kwa ajili ya shughuli za Kilimo,Uvuvi,Ufugaji na kwa maisha ya kila siku. Taarifa hizi hutolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini TMA kupitia mbalimbali vya Habari ikiwemo Pangani FM…
20 January 2021, 7:06 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: Sikiliza hapa mipango ya Serikali juu ya Mkonge.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yuko ziarani Mkoani Tanga,ziara yenye lengo la kuhamasisha uendelezaji wa zao la Mkonge. ziara hii inakuaja kama sehemu ya ufuatiliaji wa maagizo aliyotoa katika ziara yake mnamo mwezi Juni 2020. Mwanahabari wetu…
20 January 2021, 3:36 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: Wakulima wa Mkonge washauriwa kuanzisha Ushirika.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha zao la mkonge linaendelezwa na kuwanufaisha watu wote wanaoshughulika na zao hilo. Waziri Mkuu amesema hayo akiwa ziarani Mkoani Tanga wakati wa mkutano ulioshirikisha Wadau mbalimbali wa zao la mkonge,…
8 January 2021, 7:58 pm
Kilimo cha Mkonge kwa Wakulima wadogo Pangani.
Baadhi ya wakulima wadogo wilayani Pangani mkoani Tanga wameeleza kuhamasika katika a kilimo cha Zao la Mkonge ili kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza katika kipindi cha Jicho Pevu kinachoruka kupitia Pangani FM kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 12 Kamili Jioni kilichoangazia…