Pangani FM

Jinsia

17 March 2023, 3:08 pm

Wakufunzi 10 kubadili vyombo vya habari kijinsia

Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limehitimisha  mafunzo maalumu ya siku 4 yaliyowakutanisha viongozi waandamizi wa vyombo vya Habari vya Tanzania bara…