Pangani FM

FEDHA ZA IMF

11 November 2021, 10:43 am

Miioni 80 za IMF kujenga madarasa Bushiri.

Viongozi wa kata ya bushiri wilayani Pangani mkoani Tanga wamepanga kuanza ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa mwezi huu baada ya kupokea fedha kutoka Serikali. Fedha hizo zinatokana na mpango wa Serikali ya Tanzania wa kuinua Uchumi kwa kutumia mkopo…