

25 February 2023, 4:50 pm
Na Saa Zumo Baadhi ya vijana wilayani Muheza Mkoani Tanga wamekumbwa na tabia ya kutotilia mkazo suala la Elimu na kukimbilia katika biashara ya uuzaji wa machungwa. Kutokana na wilaya hiyo kuzalisha kwa wingi machugwa zao hilo ni rahisi kupatikana…
31 January 2023, 11:56 am
Jumla ya wanafunzi 280 walifanya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2022 katika shule ya msingi Kipumbwi. Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari ni 219 na ambao hawakufanikiwa kupata alama za kutosha kuendelea na elimu ya Sekondari ni 61. Na…
5 September 2022, 9:21 pm
Mwanafunzi Aisha Ramadhani (20) mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani Pangani mkoani Tanga ameomba wadau mbalimbali kumsaidiwa kwa hali na mali ili ili aweze kumudu kujiunga na masomo ya chuo baada ya kufanikiwa kuhitimu na kufaulu masomo ya Sekondari. …
6 July 2022, 5:10 pm
Baraza la mitihani nchini NECTA hapo jana limetangaza matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2022. Matokeo hayo yamezionyesha shule za wilaya ya Pangani kufanya vizuri. Jumanne Julai 5 Mbunge wa Jimbo la Pangani Mh. Jumaa Hamidu Aweso amefanya…