ELIMU
15 April 2022, 7:46 pm
Wanafunzi watakiwa kuwa makini kipindi cha likizo ya Pasaka.
Wito umetolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Pangani mkoani Tanga kuwa makini na kuzingatia tahadhari zote dhidi ya vishawishi vibaya katika kipindi hiki ambacho wapo kwenye  mapumziko mafupi ya sikukuu za Pasaka. Wito huo umetolewa…
14 July 2021, 11:07 pm
MTAKUWWA kijiji cha Sange yawashika mkono wanafunzi.
Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Sange Wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana baadhi ya wadau wa elimu wametoa vyakula kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi Sange na Makorora kusaidia maendeleo ya elimu. Mwanahabari wetu Rajabu Mustapha amefika…
2 March 2021, 3:25 pm
Sekondari ya Funguni yajipanga kuongeza Ufaulu 2021
Katika kuhakikisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya  Funguni iliyopo Wilayani Pangani Mkoani Tanga wanafanya vizuri katika matokeo yao ya kidato cha pili na cha nne kwa mwaka 2021, Uongozi wa shule hiyo umekutana na wazazi, walezi pamoja na viongozi…
8 February 2021, 1:09 pm
Wazazi wa Wanafunzi waombwa kufanikisha upatikanaji wa Chakula.
Wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule za msingi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameombwa kufanikisha utaratibu wa kambi ya kutwa kwa wanafunzi wa darasa la saba kwa kutoa michango ya chakula katika kambi hizo. Ombi hilo limetolewa na Afisa Elimu…
26 January 2021, 12:18 pm
Uhusiano kati ya Chakula Shuleni na Utoro.
Ukosefu wa chakula cha uhakika katika shule za msingi na Sekondari hapa Wilayani Pangani mkoani Tanga unatajwa kuchangia utoro kwa wanafunzi. Hayo yamesemwa na Afisa Elimu Msingi Wilayani hapa ndugu JUMA HASSANI MBOHELA katika kikao cha kamati ya lishe ya…
18 January 2021, 12:37 pm
Marufuku kutumia viti vya Wanafunzi kwenye Mikutano ya Vijiji Pangani.
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imepiga Marufuku Matumizi yaViti na Madawati ya Shule kwenye Mikutano ya Viijiji. Katazo hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Bwana Isaya Mbenje wakati akizungumza na Kituo hiki, ambapo…
10 January 2021, 12:15 pm
CHUMO LA WIKI
Huu ni mwaka mpya leo hii mwaka una siku 10 tu, waswahili wana methali isemayo hayawi hayawi huwa na sasa yamekuwa kesho Januari 11 umande utarudi kwenye viatu ,kengele zilizoanza kupata utandu zitapigwa,madarasa yaliyojawa na mwangwi nayo yajazawa na sauti…
4 January 2021, 2:09 pm
Hii ndiyo Siri ya Mafanikio toka kwa Wazazi wa Mwanafunzi bora Darasa la 7 2020.
Suala la malezi pamoja wazazi kujitoa kwenye elimu linatajwa kama nyenzo katika kuhakikisha mtoto anafanya vizuri shuleni. Hayo yameelezwa na wazazi wa Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya Kwanza katika Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2020 Wilayani Pangani. Sikiliza hapa taarifa…
2 December 2020, 4:43 pm
Ufaulu Darasa la Saba 2020 washuka Wilayani Pangani.
Ufaulu kwa wanafunzi waliohitimu Darasa la Saba Wilayani Pangani kwa mwaka 2020 umetajwa kushuka kwa Asilimia 6.74% ukilinganishwa na Mwaka jana. Akizungumza na Pangani fm Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani amesema ufauu huo umeshuka ukilinganisha na mwaka jana…