Pangani FM

COVID19

20 July 2021, 8:06 pm

Mmoja ashukiwa kufariki kwa Corona Pangani

Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imethibitisha kifo cha mtu mmoja kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeripotiwa kuwa katika wimbi la tatu hivi sasa (DELTA). Hayo yamesemwa na Mganga Mfawidhi katika Hospitali ya…

2 December 2020, 4:43 pm

Ufaulu Darasa la Saba 2020 washuka Wilayani Pangani.

Ufaulu kwa wanafunzi waliohitimu Darasa la Saba Wilayani Pangani kwa mwaka 2020 umetajwa kushuka kwa Asilimia 6.74% ukilinganishwa na Mwaka jana. Akizungumza na Pangani fm Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani amesema ufauu huo umeshuka ukilinganisha na mwaka jana…