AFYA
12 November 2021, 5:02 pm
Shinikizo la Damu changamoto zaidi kwa Wanaume Pangani.
Magonjwa ya Sukari na Shinikizo la Damu la Juu yanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Wagonjwa Wilayani Pangani Mkoani Tanga. Takwimu zinaonyesha kuwa katika kipindi cha kuanzia Septemba 2020 hadi Septemba 2021 Jumla ya Wagonjwa wenye Shinikizo la Damu la…
10 May 2021, 7:04 pm
MTAKUWWA Ubangaa waandaa eneo la Ujenzi wa Zahanati
Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Ubangaa wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikina na Serikali ya kijiji hicho inandaa eneo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Wakizungumza na Pangani FM wakati wa zoezi la kufyeka eneo lililotengwa kwa ajili ya…
17 March 2021, 7:02 pm
Wasafirishaji wa Mchanga watakiwa kuchukua tahadhari za mazingira.
Wachimbaji wa vifusi vya Mchanga na Mawe Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha kuwa shughuli za uchimbaji zinazingatia usalama wa mazingira na afya za binadamu ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika. Wito huo umetolewa na Kaimu Afisa Mazingira Wilaya ya Pangani…
3 February 2021, 1:57 pm
Wanawake 346 wafanyiwa vipimo vya Saratani ya Mlango wa Kizazi Pangani.
Wanawake 346 Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamefanyiwa Vipimo vya na kuchunguzwa Saratani ya Mlango wa kizazi Mwaka 2020. Akizungumza na Pangani FM Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto Wilayani Pangani Bi. Edith Chundu amesema kuwa katika idadi hiyo ya…
21 January 2021, 2:51 pm
Bima ya Afya CHF: Wigo umeongezwa sasa huduma hadi nje ya Halmashauri.
Wananchi wamehimizwa kujiunga kwa wingi katika Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii CHF iliyoboreshwa ili wapate vitambulisho vitakavyowasaidia kupata matibabu kwa mwaka mzima katika vituo vya kutolea huduma za Afya ikiwemo na Hospitali za Rufaa. Hayo yamesemwa leo na…
7 January 2021, 9:16 am
Mama ajifungua Watoto Mapacha Watatu Pangani
Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kwakibuyu Wilayani Pangani Mkoani Tanga amejifungua watoto mapacha watatu siku ya Januari Mosi 2021. Pangani FM imemfikia Mwanamke huyo na kufanya naye mahojiano akiwa katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Wilaya ya Pangani.…