Pangani FM

AFYA

12 November 2021, 5:02 pm

Shinikizo la Damu changamoto zaidi kwa Wanaume Pangani.

Magonjwa ya Sukari na Shinikizo la Damu la Juu yanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Wagonjwa Wilayani Pangani Mkoani Tanga. Takwimu zinaonyesha kuwa katika kipindi cha kuanzia Septemba 2020 hadi Septemba 2021 Jumla ya Wagonjwa wenye Shinikizo la Damu la…

10 May 2021, 7:04 pm

MTAKUWWA Ubangaa waandaa eneo la Ujenzi wa Zahanati

Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Ubangaa wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikina na Serikali ya kijiji hicho inandaa eneo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Wakizungumza na Pangani FM wakati wa zoezi la kufyeka eneo lililotengwa kwa ajili ya…

7 January 2021, 9:16 am

Mama ajifungua Watoto Mapacha Watatu Pangani

Mwanamke  mmoja mkazi wa kijiji cha Kwakibuyu Wilayani Pangani Mkoani Tanga amejifungua watoto mapacha watatu siku ya  Januari Mosi 2021. Pangani FM imemfikia Mwanamke huyo na kufanya naye mahojiano akiwa katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Wilaya ya Pangani.…