Afya
9 April 2024, 2:09 pm
Kila wiki mtoto mmoja anazaliwa kabla ya muda wa ujauzito kukamilika
Na Elias Maganga Matatizo ya maradhi ya kuambukiza na maradhi ya kudumu kwa muda mrefu kwa mama mjamzito inatajwa kuwa ndicho chanzo cha mtoto kuzaliwa kabla ya muda wa ujauzito kukamilika {Mtoto njiti} Dkt. Samwel William Msomba kutoka kituo cha…
3 April 2024, 5:06 pm
Jamii yatakiwa kupima magonjwa yasiyoambukiza
Magonjwa yasiyoambukiza ni magonjwa yasiyo na vimelea vinavyoweza kusambazwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, Baadhi ya magonjwa hayo ni pamoja na Magonjwa ya Moyo, mishipa ya damu, Magonjwa sugu ya njia ya hewa, Shinikizo la Juu la Damu,…
26 March 2024, 1:58 pm
Jamii yahimizwa kupima kifua kikuu
Na Jackline Raphaely Jamii imekuwa na mwitikio mdogo katika upimaji wa ugonjwa wa kifua kikuu, hali inayoonyesha kuwa bado kuna changamoto kubwa ya kuwafikia watu wenye dalili za ugonjwa huo. Akizungumza katika maadhimisho ya kifua kikuu Machi 24,2024 yaliyoandaliwa na…
1 July 2021, 6:20 am
Zahanati Lumemo Kukamilika,Mwenyekiti aeleza
Na: Vitalisi Magalitele Serikali ya Kijiji cha Lumemo kata ya Lumemo Wilayani Kilombero imeingiziwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 15 kutoka Serikali ya Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajiri ya kusaidia ujenzi wa Zahanati Kijijini humo Akizungumza na pambazuko…