Kilimo
19 April 2024, 9:20 pm
Semina ya kuwawezesha wakulima kielimu ili kuongeza tija katika mazao
Picha ni wakulima na wadau wa kilimo halmashauri ya mji wa Ifakara walioshiriki semina mjini Ifakara. Picha na; Isidory Mtunda Wakulima wa halmaashauri ya mji wa Ifakara, wamepatiwa semina, ili waongeze tija katika kilimo, na kuacha kilimo cha mazooea ,…
24 August 2021, 8:29 am
Tahadhari Ya Moto
Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…
29 June 2021, 6:13 am
Tembo Wavamia Mashamba,Wala Mazao Ulanga
Na: Katalina Liombechi Wakulima wa Mashamba ya Luhogi katika kata ya Minepa wamelalamikia Tembo kufanya uharibifu wa Mazao yao hali ambayo inaweza kuwapelekea kukumbwa na baa la njaa kwa Mwaka huu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakulima hao akiwemo Costasia David,Athman…
18 May 2021, 5:21 am
Pembejeo,Hamasa mpya kilimo cha Pamba Malinyi
Wakulima 25 katika Kijiji cha Kipenyo kata ya Mtimbira Wilayani Malinyi wamelima Jumla ya hekari 41 za zao la Pamba. Afisa Kilimo wa Kijiji hicho Bwana Miraji Ngaillah amesema wakulima wameanza kuhamasika kulima zao hilo ambapo hapo awali kulikuwa na…