Pambazuko FM Radio

Kilimo

24 August 2021, 8:29 am

Tahadhari Ya Moto

Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…

29 June 2021, 6:13 am

Tembo Wavamia Mashamba,Wala Mazao Ulanga

Na: Katalina Liombechi Wakulima wa Mashamba ya Luhogi katika kata ya Minepa wamelalamikia Tembo kufanya uharibifu wa Mazao yao hali ambayo inaweza kuwapelekea kukumbwa na baa la njaa kwa Mwaka huu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakulima hao akiwemo Costasia David,Athman…

18 May 2021, 5:21 am

Pembejeo,Hamasa mpya kilimo cha Pamba Malinyi

Wakulima 25 katika Kijiji cha  Kipenyo kata ya Mtimbira Wilayani Malinyi wamelima Jumla ya hekari 41 za zao la Pamba. Afisa Kilimo wa Kijiji hicho Bwana Miraji Ngaillah amesema wakulima wameanza kuhamasika kulima zao hilo ambapo hapo awali kulikuwa na…