

1 June 2023, 2:33 pm
Na Elias Maganga Viongozi wa vyama vya ushirika na SACCOS katika halmashauri ya mji wa Ifakara wamemweleza mkuu wa wilaya ya Kilombero changamoto zanazowakabili ikiwa ni pamoja na wavuvi walioomba soko la Kivukoni, na kumiliki mabwawa ya asili bila mafanikio…
27 May 2023, 12:03 pm
Kutokana na wananchi wa Kijiji cha Sole kata ya Mkula Halmashauri ya Mji wa Ifakara kutembea umbali mrefu kufuata huduma za Afya,STEP,imekabidhi hundi ya kiasi cha Shilingi Mil 10 ,kwa ajili ya Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji hicho hali itakayosaidia…
16 May 2023, 7:28 pm
Udhibiti wa magonjwa mbalimbali hauwezi kupatikana kwa kutumia wataalam wa sekta husika pekee hivyo kwa kutumia dhana ya Afya Moja itasaidia kupata suluhu ya afya ya binadamu, wanyama pamoja na mazingira. Na Katalina Liombechi Wataalam wa sekta mbalimbali katika bonde…
26 April 2023, 2:46 pm
wanachama wa ushirika wa uvuvi,usindikaji na masoko wakifuatilia mafunzo{Picha na Elias Maganga} Vyama vingi vya ushirika vimekufa kutokana na kutokuwa na elimu ya ushirika na kutokuwa na siri, hivyo wanachama wametakiwa kuitumia elimu waliyoipata ili kuundeleza ushirika huo Na Elias…
5 April 2023, 3:53 pm
Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Uvuvi,Usindikaji na Masoko Kilombero wakiwa kenye mkutano Chama cha Ushirika cha Uvuvi,Usindikaji na Masoko Kilombero kimeundwa kwalengo la kuwaunganisha Wavuvi wote wanaojihusha na Uvuvi na hio itasaidia kudhibiti uvuvi haramu ili kuulinda Mto Kilombero…
10 February 2023, 4:24 pm
Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…
24 August 2021, 8:29 am
Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…
16 December 2020, 8:30 am
Kamati ya MTAKUWA kijiji cha Sagamaganga, kata ya Signali, kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kuibua ndoa na mimba za utotoni pamoja na matukio ya ubakaji. Hayo yameelezwa na mjumbe wa kamati ya MTAKUWA wa kijiji hicho bi, MACRINA MHALAFU,…