Pambazuko FM Radio
Afya
26 March 2024, 1:58 pm
Jamii yahimizwa kupima kifua kikuu
Na Jackline Raphaely Jamii imekuwa na mwitikio mdogo katika upimaji wa ugonjwa wa kifua kikuu, hali inayoonyesha kuwa bado kuna changamoto kubwa ya kuwafikia watu wenye dalili za ugonjwa huo. Akizungumza katika maadhimisho ya kifua kikuu Machi 24,2024 yaliyoandaliwa na…
1 July 2021, 6:20 am
Zahanati Lumemo Kukamilika,Mwenyekiti aeleza
Na: Vitalisi Magalitele Serikali ya Kijiji cha Lumemo kata ya Lumemo Wilayani Kilombero imeingiziwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 15 kutoka Serikali ya Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajiri ya kusaidia ujenzi wa Zahanati Kijijini humo Akizungumza na pambazuko…