Orkonerei FM
Ujenzi OPD
12 March 2022, 6:58 pm
Milioni 200 ujenzi wa jengo la OPD Maroroni Arusha
HABARI. NA NYANGUSI OLE SANG’IDA Katika kipindi cha robo ya kwanza na ya pili Halmashauri ya Wilaya ya Meru imetoa Shilingi Milioni 200 fedha za mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hiki cha Afya. Ujenzi unaoendelea…