Orkonerei FM

Afya

9 November 2021, 10:30 am

Viongozi wa Mila na Chanjo ya UVIKO 19.

Terrat, Simanjiro 09.11.2021. Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa Mila kutoka Jamii ya Kimasai Mkoa wa Manyara wamewataka Wananchi wa Jamii ya Kifugaji wa Kimaasai kujitokeza kupata Chanjo ya UVIKO 19 inayotolewa bila malipo kwani chanjo hiyo ni Salama…