Nuru FM

ufahamu

20 April 2022, 7:29 am

Tuzo za Waandishi wa habari Nchini kutolewa Mei 3

Wanahabari wa Tanzania wanatarajia kupata tuzo kwa makundi tofauti katika tasnia hiyo ikiwa ni katika kuenzi na kutambua umuhimu wao katika kuleta maendeleo ya nchi kitaifa na kimataifa. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Rodney Thadeus…

26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…