Nuru FM

Habari za Iringa

15 May 2023, 1:16 pm

Kitomo akabidhi Printer shule ya Msingi Nyamihuu

Na Hafidh Ally Mdau wa maendeleo Elia Kitomo amekabidhi mashine ya kuprint na kutoa copy katika shule ya msingi Nyamihuu ili iwasaidie katika shughuli za Kitaaluma. Akizungumza wakati wa kukabidhi mashine hiyo, Elias Kitomo ambaye ni Mkurugenzi wa Kitomo Hardware…

11 May 2023, 9:23 am

Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo

Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO