Nuru FM

elimu

12 March 2024, 5:34 pm

Andikeni habari zinazogusa jamii

Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuachana na uandishi wa kawaida na badala yake wajikite kuandika habari za wananchi ili kuwaongezea heshima katika jamii. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Iringa Press Club (IPC) Frank Leonard katika…

23 February 2024, 9:50 am

Lyra in Afrika wakabidhi bweni na kompyuta shule ya Mseke

Na Godfrey Mengele Shilingi million 246 zimetumika katika ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya sekondari Mseke iliyopo kata ya Masaka halmashauri ya wilaya ya Iringa ili kupunguza adha ya wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu. Akizungumza katika hafla…

23 March 2022, 7:42 am

Muundo Wa Mitaala Waanza Kuandaliwa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) na Wizara ye Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA) kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya Elimu Zanzibar (TEZ) imekamilisha zoezi la kuchambua maoni ya wadau pamoja na kuandika ripoti ya…

26 January 2021, 10:59 am

Ziara ya siku mbili ya waziri mkuu mkoani Iringa

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuweka mazingira Rafiki na wezeshi kwa ajili ya kuendeleza Ubunifu unaofanywa na Vijana mkoani Iringa ili waweze kusaidia ukuaji wa Teknolojia

21 December 2020, 9:05 am

Wahitimu msitegemee ajira – Prof. Anangisye

Wahitimu wa Fani mbalimbali katika Chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa kilichopo mkoani Iringa wametakiwa kutumia Taaluma zao katika kuongeza thamani ,Ubunibu  na Kutengeneza Ajira zitakazoinufaisha jamii inayowazunguka badala ya Kutegemea kuajiriwa. Akizungumza na Katika Mahafari ya 12 ya Chuo…

26 November 2020, 6:54 am

Wanafunzi 130 warudishwa nyumbani kwa siku 7.

Wanafunzi 130 wa shule ya sekondari ya Tosamaganga iliyopo wilayani Iringa wamerudishwa nyumbani kwa siku saba hadi watakapolipa shilingi elfu 35 kila mmoja baada ya kushiriki vurugu zilizosababisha uharibifu wa mali za shule wakigomea tarehe ya kuanza mtihani wa mwisho…