afya
24 April 2024, 10:14 am
Iringa watakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalam wa afya
Kutofuata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa Husababisha magonjwa kama ugonjwa wa figo, Ini na usugu wa ugonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya ili…
22 April 2024, 1:46 pm
Wagonjwa 800 Iringa wamepata huduma katika kambi ya Madaktari Bingwa
Katika kupambana na Magonjwa mbalimbali, Hospital ya rufaa Mkoa wa Iringa iliandaa Kambi ya kuwahudumia wananchi wenye changamoto za kiafya. Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wagonjwa 800 wamepata huduma ya kibingwa kutoka Kambi ya Madaktari Bingwa kutoka JKCI ijulikanayo Kama…
16 April 2024, 10:09 am
Madaktari bingwa kutoka JKCI kuweka kambi Iringa
Serikali imefanya jitihada za kukabiliana na Magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwaleta wataalamu kutoka Taasisi ya JKCI Mkoani Iringa kuweka Kambi ya kuwahudumia wakazi wa Mkoa huu. Na Adelphina Kutika MAMIA ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kwenye…
25 March 2024, 10:19 am
Miaka mitatu ya Rais Samia yainufaisha hospitali ya Rufaa Iringa
Katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Iringa ilipokea shilingi billion 4.4 kwaajili ya kuboresha huduma za afya ndani ya hospitali hiyo. Na Hafidh Ally Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya…
8 March 2024, 4:40 pm
Wanawake Iruwasa watoa msaada kwa wagonjwa
Mashuka yaliyokabidhiwa Hospitalini hapo yatawasaidia wagonjwa wanaolazwa. Na Mwandishi wetu Ikiwa Leo ni Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Idara ya Maji Safi na Mazingira Iringa (IRUWASA) wametembelea Hospitali ya Rufaa Ya Mkoa wa Iringa na kutoa mashuka 20 kwa…
4 March 2024, 12:24 pm
Iringa kuzindua mkakati wa kukabili udumavu
Licha ya takwimu kuonesha kuwa hali ya udumavu nchini imepungua hadi kufikia asilimia 30 mwaka 2022, bado mikoa ya Iringa na Njombe ina hali ya udumavu wa kutisha. Na Frank Leonard Wakati baadhi ya wadau wakionekana kutoziafiki takwimu zinazoonesha mkoa…
28 February 2024, 9:37 am
Madiwani Iringa waomba kondomu
Na Hafidh Ally Ongezeko la uzalishaji wa pombe ya kienyeji aina ya ulanzi na mahusiano yake na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) limewaibua baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa wakitaka usambazaji wa kondomu katika vilabu vinavyouza…
15 February 2024, 7:23 pm
Rhythm Foundation yatoa msaada kwa wagonjwa hospitali ya Ipamba
Na Fabiola Bosco Taasisi ya Rhythm Foundation nchini Tanzania imetoa msaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Ipamba mkoani Iringa katika siku ya wapendanao duniani ambayo huadhimishwa kwa matukio tofauti ulimwenguni. Akizungumza baada ya kutoa msaada huo Shariffa Salum Mdau kutoka…
6 April 2022, 6:34 am
ALLY MTERA: Changamoto ya hedhi kwa wanawake chanzo cha kutopata Ujauzito
Imeelezwa kuwa kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kwa wanawake hupelekea kushindwa kupata ujauzito na kupata maambukizi katika kizazi na kuziba kwa mirija ya uzazi. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Tiba asili kilichopo Chalinze Mkoani Pwani cha Ilham…
5 April 2022, 9:11 am
Wizara Ya Afya Yapokea Vifaa Vya Tehama Vyenye Thamani Ya Milioni 200
Wizara ya Afya leo imepokea vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya shilingi 203,550,000 kutoka Shirika la USAID kwa kushirikiana na JHPIEGO kupitia mradi wake wa Momentum Challenge Global Leadership (MCGL). Akiongea wakati wa hafla hiyo Katibu Mkuu wa Wizara hiyo…