

14 March 2023, 8:26 pm
Na Hafidh Ally Mama Mzazi wa Familia ya walemavu watatu wa familia moja anashindwa kumudu gharama za kuwalea watoto wake na kuwapatia matibabu. Walemavu watatu wa familia moja katika Kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani…
7 March 2023, 12:38 pm
Ujenzi wa Nyumba ya walemavu wanaoishi Kijiji cha Lulanzi umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 26 huku kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi milioni 5 zikitolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Hafidh Ally Hatimaye Nyumba…
7 February 2023, 11:25 am
Serikali ina Mpango gani wa kuweka Sheria kwa Wamiliki Wa Vyombo Vya Usafiri ili Kuwa Na Miundombinu Rafiki Kwa Watu Wenye Ulemavu. Na Hafidh Ally Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi imewataka Mamalaka ya Usafirishaji Ardhini LATRA na Mamlaka…
2 February 2023, 3:07 pm
Serikali itupatie usaidizi wa namna ya kuwahudumia watoto wenye ulemavu Pindi wawapo shuleni kimasomo. Na Fabiola Bosco Wazazi wenye watoto walio na ulemavu Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wameiomba serikali kuwapa usaidizi wa namna ya kuwahudumia watoto wao pindi wawapo…