Nuru FM

uchumi

12 April 2024, 10:01 am

Mafinga mji kuongeza ukusanyaji mapato

Licha ya Mafinga kuwa kinara katika ukusanyaji wa mapato, Bado Viongozi wa Halmashauri hiyo wamekuwa mstari wa mbele kupata Elimu namna ya kuboresha ukusanyaji wa mapato. Na Hafidh Ally & Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga imepanga kuongeza kasi katika…

8 April 2024, 9:01 am

Mapesa awaagiza maafisa kilimo Idodi mashine za kukoboa mpunga

Na Joyce Buganda Maafisa kilimo wa Tarafa ya Idodi iliyopo wilaya ya Iringa wameagizwa kutafuta mashine za kukoboa mpunga na kuzipeleka katika eneo hilo ili kumpunguzia mkulima gharama za usafirishaji wa zao hilo mpaka Iringa mjini. Hayo yamezungumzwa  na Afisa…

3 April 2024, 9:39 am

TRA kutumia mbio za mwenge kutoa elimu ya kodi

Uwepo wa Mwenge unasaidia kuwakutanisha watu wa kada mbalimbali ambao wanatakiwa kupatiwa elimu ya kodi ili kuongeza fedha za kukuza miradi ya maendeleo. Na Mwandishi wetu. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imejipanga kutoa elimu ya kodi kusikilza changamoto na…

21 March 2024, 10:19 am

Watendaji manispaa ya Iringa waagizwa kutatua kero za machinga

Changamoto za machinga zinatakiwa kutatuliwa ili kukuza uchumi wa mkoa wa Iringa Na Joyce Buganda Watendaji wa halmashauri ya manispaa ya Iringa wameagizwa kushirikiana kutatua tatizo la machinga  ili kuleta maendeleo ya mkoa. Agizo hilo amelitoa leo mkuu wa Mkoa…

21 March 2024, 9:48 am

DC Kheri aagiza ukarabati wa soko kuu Iringa

Siku chache baada ya soko kuu la Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa nne usiku, Mkuu wa Wilaya ya Iringa ameagiza utekelezaji wa kukarabati miundombinu ya soko hilo. Na Mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Iringa Kheri James ameilekeza Halmashauri…

16 March 2024, 10:50 am

Mil 57 za Regrow zawanufaisha wakulima wa Tungamalenga

Mradi wa REGROW katika Hifadhi ya Taifa Ruaha umevinufaisha vijiji zaidi ya 84 vinavyoizunguka hifadhi hiyo kwa kutoa zaidi shilingi milioni 820. Na Joyce Buganda Wakazi wa kijiji cha Tungamalenga kilichopo katika tarafa ya Idodi wilayani Iringa wameishukuru serikali kwa…

15 March 2024, 9:11 am

Maofisa ugani wafundwa mfumo wa CSDS

Mfumo wa kidigitali wa Crop Stock Dynamic System (CSDS) unalenga kuwatambua na kuwadhibiti wafanyabiashara wanaouza mazao yaliyoharibika na kupoteza sifa ya kupelekwa sokoni. Na Frank Leonard MAOFISA ugani zaidi ya 100 wa mikoa ya Iringa, Ruvuma, Rukwa na Katavi wanapata…

14 March 2024, 11:35 am

Regrow kuwanufaisha wakulima Madibira

Mradi wa umwagiliaji Kata ya Madibira unawawezesha wakulima kulima mpunga kwa uhakika wa kupata mavuno wanayotarajia. Na Joyce Buganda Wakulima wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais wa Awamu ya Sita chini ya…

14 March 2024, 10:48 am

Soko kuu Iringa kufanya kazi mpaka saa nne usiku

Kitendo cha wafanyabiashara wa soko kuu la Iringa mjini kuruhusiwa kufanya biashara zao mpaka saa nne usiku kimeonekana kuwa msaada kwa wananchi wanaotaka huduma hizo. Na Azory Orema Licha ya soko kuu Manispaa ya Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa…

18 April 2022, 9:00 am

TBA Kumaliza Ujenzi Wa Ofisi Ya Tfs Jijini Dodoma

UJENZI wa Ofisi ya Kanda ya Kati ya Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ambao umebuniwa na unajengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Jijini Dodoma, kwa sasa umefikia asilimia 50 katika ujenzi ambapo Meneja wa Mradi huo, Mhandisi Mshauri Mtogomi…