Nuru FM

Jinsia

11 May 2023, 9:23 am

Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo

Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO