

13 March 2023, 12:57 pm
Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…
13 March 2023, 12:21 pm
Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu wa filamu nchini ambao asili yao kutoka mkoa wa Iringa wamesema…
17 February 2023, 4:53 pm
Wazazi na walezi mkoa wa Iringa watajwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwakutozungumza na watoto wao kwa uwazi pindi yanapotokea mabadiliko ya kimwili Na Fabiola Bosco. Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuzungumza na watoto kwa uwazi pindi yanapotokea…
11 September 2022, 3:33 pm
Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi na walezi nchini, kuwaruhusu watoto wao kushiriki kwenye Mabaraza ya watoto yaliyopo katika ngazi za Kata hadi Taifa, ili kujenga vipaji vyao vinavyopatikana kwenye mabaraza hayo. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…
5 September 2022, 5:04 am
Jeshi la Polisi Wilayani Kilosa, limewakamata Mtendaji wa kijiji cha Mambegwa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa cheo bandia cha Katibu wa mwenyekiti wa Kijiji hicho, wakidaiwa kuhusika na uchochezi wa migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea watu watano kujeruhiwa baada…