

28 November 2023, 7:10 pm
Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…
16 November 2023, 8:34 pm
Na Godfrey Mengele. Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa imezindua mfumo wa uandikishaji kwa alama za vidole lengo likiwa kuimarisha huduma kwa watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) ili kupata takwimu sahihi za wale wanaoishi na maambuzi hayo…
14 November 2023, 4:12 pm
Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000 Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…
11 July 2023, 5:45 pm
Na Adelphina Kutika Wizara ya Afya imeendelea kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari nchini kuhusiana na masuala ya chanjo ili waweze kuelimisha jamii. Afisa Program ya chanjo wa mpango wa Taifa wa chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau amesema Wizara…
18 April 2023, 2:10 pm
Hospital ya Wilaya ya Itilima imekuwa ikitoa huduma za afya kwa wananchi wengi huku ikibaliwa na changamoto ambazo serikali imeombwa kuzitatua. Na Hafidh Ally Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyopo Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Changamoto ya ukosefu Jokofu la…
14 April 2023, 4:59 pm
Kodi za vifaa tiba zinapelekea vifaa hivyo kuchelewa bandarini kutokana na kutokuwepo kwa mpango mzuri wa kuviruhusu ili vikatoe huduma kwa wagonjwa. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kuweka mpango mkakati wa kuondoa Kodi ya vifaa tiba kutoka Bandarini ili viweze…
13 April 2023, 1:37 pm
Wananchi Kata ya Kimara Wilaya ya Kilolo wanakutana na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya kutokana na kutokuwepo kwa kituo Cha afya. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kujenga kituo cha afya katika Kata ya Kimara Wilaya ya…
3 April 2023, 2:57 pm
Viongozi wa Kimila Mkoani Iringa wametajwa kuwa sababu ya wananchi kujitokeza kupata chanzo ya Uviko-19. Na Ashura Godwin Wananchi Mkoani Iringa wameanza kuwa na mwamko wa kupata chanjo ya uviko-19 baada ya kupata elimu na hamasa kutoka kwa viongozi wa…
30 March 2023, 12:26 pm
Ni muhimu kwa jamii kupata dozi mbili za chanjo ya Uviko-19 ili kukabiliana na Maambukizi mapya ya Virusi vya Corona. Na Ashura Godwin Idara ya Afya mkoa wa Iringa imewataka wananchi kujitokeza katika vituo vya afya ili kupata na kukamilisha…
1 March 2023, 2:24 pm
Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…