Nuru FM

Afya

28 November 2023, 7:10 pm

Mtazamo hasi wapelekea wanawake kushindwa kununua kondom

Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…

14 November 2023, 4:12 pm

Mradi wa USAIDS Kizazi Hodari wawafikia watoto 9000 Iringa na Njombe.

Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000  Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza  Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…

11 July 2023, 5:45 pm

Wizara ya Afya Yawajengea uwezo Wanahabari Iringa.

Na Adelphina Kutika Wizara ya Afya imeendelea kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari nchini kuhusiana na masuala ya chanjo ili waweze kuelimisha jamii. Afisa Program ya chanjo wa mpango wa Taifa wa chanjo kutoka Wizara ya Afya Lotalis Gadau amesema Wizara…

14 April 2023, 4:59 pm

Kabati aiomba Serikali Kufuta Kodi ya vifaa tiba.

Kodi za vifaa tiba zinapelekea vifaa hivyo kuchelewa bandarini kutokana na kutokuwepo kwa mpango mzuri wa kuviruhusu ili vikatoe huduma kwa wagonjwa. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kuweka mpango mkakati wa kuondoa Kodi ya vifaa tiba kutoka Bandarini ili viweze…

1 March 2023, 2:24 pm

Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika

Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…