Mpanda FM
Magonjwa
26 November 2022, 6:56 am
Wafanyabiashara watakiwa kuchukua tahadhari ya magonjwa ya mlipuko
MPANDA Wafanyabiashara kata ya Kashaulili manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara ikiwa ni pamoja na kuchukuwa tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko. Wito huo umetolewa na Afisa mtendaji wa Kata ya Kashaulili Merry…